Tuesday, August 2, 2016

ZOEZI LA UHAKIKI WA VYETI VYA TAALUMA NA UTAALAMU KWA WAFANYAKAZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA CHEMBA LIMEANZA  RASMI LEO TAREHE 02/08/2016 MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA WILAYA.



 Afisa Raslimali watu wa wilaya  Bi Carolina Kayombo akihakiki vyeti vya watumishi.

 Afisa Elimu vifaa na takwimu (M) wa wilaya akihakiki vyeti vya watumishi.


 Watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Chemba wakiwa kwenye uhakiki wa vyeti




 Afisa Elimu wilaya (M) Bi.Dafroza Ndalichako akihakiki vyeti vya watumishi




Katibu wa Afya wa (W)
Ndg Joseph Bura akihakiki vyeti vya watumishi

1 comment:

  1. nahitaji kuwasiliana na ofisi ya DED - CHEMBA ila namba zenu hazipatikani nipatieni cotact zenu tafadhali.

    ReplyDelete